Heri ya Kuzaliwa Rais na Mwekezaji wa Simba Sc Mo Dewji

Heri ya Kuzaliwa Rais na Mwekezaji wa Simba Sc Mo Dewji

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Screenshot_20230508-103020_Gallery.jpg
 
Umeshindwa kuwatakia heri ya kuzaliwa wazazi wako, mke wako pamoja na watoto wako unajipendekeza kwa mwamedi ambae hakujui[emoji848][emoji848] Hopeless [emoji706]
Sasa unataka awatakie hata kama siku sio husika? Halafu anawatakiaje humu JF?
 
Shida ni nini kwenye post yangu. Kumtakia HBD Mo Dewji ama nini. Nachelea kukupaka shombo labda utakuwa na hoja
Umeweka hii post ili watu wote wachangie. Kwa hiyo siyo mali yako tena. Badala yake inageuka na kuwa mali ya jamii forums!

Hivyo jitahidi tu kupokea maoni ya wadau wote. Chawa ni neno tu la kawaida linalotumika kama mbadala wa neno mpambe.
 
Umeshindwa kuwatakia heri ya kuzaliwa wazazi wako, mke wako pamoja na watoto wako unajipendekeza kwa mwamedi ambae hakujui[emoji848][emoji848] Hopeless [emoji706]
Wewe kondoo aliyekwambia nimeshindwa nani? Unakuwa hater kama shetani
 
Umeweka hii post ili watu wote wachangie. Kwa hiyo siyo mali yako tena. Badala yake inageuka na kuwa mali ya jamii forums!

Hivyo jitahidi tu kupokea maoni ya wadau wote. Chawa ni neno tu la kawaida linalotumika kama mbadala wa neno mpambe.
Punguza kuchangia upumbavu kwenye post zangu. Ushabiki usikufanye utumie makalio kufikiri
 
Umeshindwa kuwatakia heri ya kuzaliwa wazazi wako, mke wako pamoja na watoto wako unajipendekeza kwa mwamedi ambae hakujui[emoji848][emoji848] Hopeless [emoji706]

Umeshindwa kuwatakia heri ya kuzaliwa wazazi wako, mke wako pamoja na watoto wako unajipendekeza kwa mwamedi ambae hakujui[emoji848][emoji848] Hopeless [emoji706]

Huyu ni boss wa club yetu ya simba sc, kaweka hapa ili mashabiki wa simba tumpe maua yake tajiri yetu......
 
Back
Top Bottom