OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida ni nini kwenye post yangu. Kumtakia HBD Mo Dewji ama nini. Nachelea kukupaka shombo labda utakuwa na hojaIli uwe Chawa wa mtu unatakiwa kujitoa ufahamu kidogo.
Sasa unataka awatakie hata kama siku sio husika? Halafu anawatakiaje humu JF?Umeshindwa kuwatakia heri ya kuzaliwa wazazi wako, mke wako pamoja na watoto wako unajipendekeza kwa mwamedi ambae hakujui[emoji848][emoji848] Hopeless [emoji706]
Umeweka hii post ili watu wote wachangie. Kwa hiyo siyo mali yako tena. Badala yake inageuka na kuwa mali ya jamii forums!Shida ni nini kwenye post yangu. Kumtakia HBD Mo Dewji ama nini. Nachelea kukupaka shombo labda utakuwa na hoja
Kwa hiyo hii post ataiona?
Ungemuuliza uyo mtoa post iweje amtakie hb mwamedi humu jfSasa unataka awatakie hata kama siku sio husika? Halafu anawatakiaje humu JF?
AaahaaaShida ni nini kwenye post yangu. Kumtakia HBD Mo Dewji ama nini. Nachelea kukupaka shombo labda utakuwa na hoja
AajaaaaaKwa hiyo hii post ataiona?
AaahaaaaUmeweka hii post ili watu wote wachangie. Kwa hiyo siyo mali yako tena. Badala yake inageuka na kuwa mali ya jamii forums!
Hivyo jitahidi tu kupokea maoni ya wadau wote. Chawa ni neno tu la kawaida linalotumika kama mbadala wa neno mpambe.
Pia kashare na Mpwayungu VillageKashare na Mwinyi birthday.
Huyo ticha nae amezaliwa leo? DshPia kashare na Mpwayungu Village
YeahHuyo ticha nae amezaliwa leo? Dsh
Happy Birthday ticha Mpwayungu VillageYeah
Wewe kondoo aliyekwambia nimeshindwa nani? Unakuwa hater kama shetaniUmeshindwa kuwatakia heri ya kuzaliwa wazazi wako, mke wako pamoja na watoto wako unajipendekeza kwa mwamedi ambae hakujui[emoji848][emoji848] Hopeless [emoji706]
Punguza kuchangia upumbavu kwenye post zangu. Ushabiki usikufanye utumie makalio kufikiriUmeweka hii post ili watu wote wachangie. Kwa hiyo siyo mali yako tena. Badala yake inageuka na kuwa mali ya jamii forums!
Hivyo jitahidi tu kupokea maoni ya wadau wote. Chawa ni neno tu la kawaida linalotumika kama mbadala wa neno mpambe.
Umeshindwa kuwatakia heri ya kuzaliwa wazazi wako, mke wako pamoja na watoto wako unajipendekeza kwa mwamedi ambae hakujui[emoji848][emoji848] Hopeless [emoji706]
Umeshindwa kuwatakia heri ya kuzaliwa wazazi wako, mke wako pamoja na watoto wako unajipendekeza kwa mwamedi ambae hakujui[emoji848][emoji848] Hopeless [emoji706]