Heri Ya Mwaka Mpya Jf Members Wote

Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2006
Posts
4,568
Reaction score
2,918
Ninawatakia heri ya mwaka mpya 2008. I thank you all guys kwa kazi kubwa ya kukosoa, kelimisha na kuhabarisha kupitia JF. I have learned a lot through JF and Hopeful moto huu utazidi kuwaka na watu mtazidi kukemea bila woga. JF imekuwa cheche ya mawazo huria. God bless you all.
 
Kama kenya Maarifa....na wewe pia
 
Asante naweye, na wana JF wote na wageni wote wanao tutembelea nawatakieni heri ya mwaka mpya, uwe wa mafanikio kwenu nyote.
 
Mi tayari nina dazeni nzima ya mayai viza. Walevi watanikoma leo....kuna sehemu hiyo nikijibanza hamna atayenipata. Mi ntakuwa natungua tu...
 
Mi tayari nina dazeni nzima ya mayai viza. Walevi watanikoma leo....kuna sehemu hiyo nikijibanza hamna atayenipata. Mi ntakuwa natungua tu...

Lo salaleeee... acha mambo hayo Nyani, waache walevi waanze mwaka kwa furaha na harufu nzuri ya gongo, chang'aa, na jasho la mapapai, hayo mayai viza mwachie kuku afanye recycling!

Heri ya mwaka mpya kwa JF wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…