Heri yake Mwalimu!

Heshima kwako mkuu, Hongera kwa ujumbe maridhawa, wenye kusikia watasikia, ingawa masikio yao wametia pamba, na macho yao hayaoni
 
Naweka chini kalamu
Nijiunge sisiemu?
Kwenye chama cha Mwalimu
Kuing'oa hii sumu?

Ama mtanilaumu
?

usithubutu kujiunga na chama cha mafisadi, maana wote wananuka mama Simba katuthibitishia hilo, ni hatari kwa hadhi na heshima yako mzee Mwanakijiji sauti ya kijiji.
kama kuna wasafi mbona kufikia leo JK Mrisho anaogopa kusign barua ya kumfukuza kazi. hawa wote wananuka wamepungukiwa utukufu.
 
Sisiemu haimeguki kwa kuombewa na kungojewa; sisiemu itavunjika kwa kusukumwa! - quote me!
Initial pushing force has been provided by them....Hii presha ikiendelea hivi watasalimuamri hawana jinsi
 
Zitto big up kutuletea binti kiziwi. message sent and received.
 

nadhani kati ya maamuzi magumu ninayoweza kuchukua ni huu wa kujiunga CCM; it'll be out of necessity kwa sababu hawa watu hatuwezi kuwaachia nguvu waliyonayo kututawala wapendavyo na wengine tukaendelea kupiga kelele toka nje ya uringo.. I'm seriously considering this. Tatizo ni hawa wenyeviti wa mikoa wakija na kusema niende kuwalambalamba miguu kuwathibitishia kuwa mimi ni mwanachama!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…