Initial pushing force has been provided by them....Hii presha ikiendelea hivi watasalimuamri hawana jinsiSisiemu haimeguki kwa kuombewa na kungojewa; sisiemu itavunjika kwa kusukumwa! - quote me!
Mkuu kumbe nawe wamo? asante sana tumekupataNani wa kuku Laumu?
Kila mtu baragumu
Nchi imekuwa Ngumu
Sasa twende Lamu
Mkuu kumbe nawe wamo? asante sana tumekupata
Naweka chini kalamu
Nijiunge sisiemu?
Kwenye chama cha Mwalimu
Kuingoa hii sumu?
Ama mtanilaumu?
usithubutu kujiunga na chama cha mafisadi, maana wote wananuka mama Simba katuthibitishia hilo, ni hatari kwa hadhi na heshima yako mzee Mwanakijiji sauti ya kijiji.
kama kuna wasafi mbona kufikia leo JK Mrisho anaogopa kusign barua ya kumfukuza kazi. hawa wote wananuka wamepungukiwa utukufu.