Ameen mkuu [emoji120][emoji120][emoji120] tubarikiwe soteAsante sana kiongozi, Mungu akubariki...
Hakika kheri na baraka ni zake Mwenyezi Mungu, kwa kutuwezesha kufika hapa tulipo...
Mwenyezi Mungu, awape kheri na baraka wazazi wetu kwa kuweza kutulea na kutufunza mema maishani mwetu...