Nashukuru sana kiongozi wangu. Ila, naomba sasa uniongezee elimu ya 'load index' ambayo sikuuliza kwenye swali langu. Ahsante sana.E_70km/h
F_80km/h
G_90km/h
J_100km/h
K_110km/h
L_120km/h
M_130km/h
N_140km/h
P_150km/h
Q_160km/h
R_170km/h
S_180km/h
T_190km/h
U_200km/h
H_210km/h
V_240km/h
W_270km/h
Y_300km/h
Z_240km/h over
Nb
Kwenye tyre utakuta wameandika mfano kwenye tyre ya Goodride size 205/55/R16 kuna sehemu wameandika 91V, hiyo V ina wakilisha speed na hiyo 91 ni load index(haipo kwenye swali lako)
Hizo namba pia zinawakilisha uzito unaoweza kumudu kila tairi na hiyo ndio load indexNashukuru sana kiongozi wangu. Ila, naomba sasa uniongezee elimu ya 'load index' ambayo sikuuliza kwenye swali langu. Ahsante sana.