Hesabu hii imekaaje?

Interesting!!
 
Wamelipa........75

Wamerudishiwa........5-2=3

Hivyo wamelipa Sh 73 na sio Sh 72

Na mchango wa Kila mmoja utakuwa 73/3= 24.33

Muhudumu kazuia mbili Sh mbili ya watu watatu ni sawa na 2/3= 0.67

24.33
+ .67
25.00 x 3= 75@3
Hapo kwenye bold HB unazidi kunichanganya, wamerudishiwa sh.3 hivyo wamelipa 72 na sio 73 kama unavyosema labda kuna maelezo zaidi ya kimahesabu!
 
Mtoa mada alete majibu ya maswali hayo au kwakuwa ipo kwa jokes ndo mana hakuna kumalizia??😕
Nililitoa ili niweze kupata jibu mimi sio mzuri sana katika anga hizi za hesabu, nashukuru kwa wote mliochangia nazidi kupata elimu zaidi ya hesabu!
 
Mafumbo haya kuharibiana mood, mplekeeni yule mzee wa kirusi, ukwey walitoa sh75 yaani 25 each, walivyorudishiwa sh 5 maana yake walichajiwa 70/3 anbayo ni sh 23.33333 wakaja pewa sh 1 kila moja so inakua ni sh 24.33333 maana hata sh 2 aliyochikichia mhudumu waliilipia wao
 
Sijakuelewa.
 
AHAHAHAHA...jamani michezo ya hesabu na namba wapelekeeni WARUSI..fullstop...HAPA TANZANIA TUACHIWE MAJUNGU NA UFISADI NA AHADI ZISIZOTEKELEZEKA
 
AHAHAHAHA...jamani michezo ya hesabu na namba wapelekeeni WARUSI..fullstop...HAPA TANZANIA TUACHIWE MAJUNGU NA UFISADI NA AHADI ZISIZOTEKELEZEKA
Kweli kabisa Hesabu na namba ni ugonjwa wa kitaifa, waulize wanafunze watakueleza.
 
walitoa 75. ikarudi 5.

caunta ilibaki sh 70.
muhudumu kabaki na sh 2.
wakarudishiwa sh 3.
muhudumu aliwachaji sh72 ( pamoja na aliyosunda )
wao walipewa sh 3
hapa unajumlish sh 72 + sh 3 na siyo sh 2. kwasababu sh 2 imeshajumlishwa ndo tukapata 72.
 
Let me honest...when it comes to Maths...i always get goose bumps, i think am kind of allergic when it comes to Hisabati!!!
 
Let me honest...when it comes to Maths...i always get goose bumps, i think am kind of allergic when it comes to Hisabati!!!
Pole mkuu huu ni ugonjwa wa kitaifa si wewe tu tupo wengi.
 
Hesabu huwa ni msosi wangu, hata kids zangu nao wanameza kama maji! Nilimpa kid langu la std 2 likatema jibu utadahani linalia vile........oooh kumbe ni wtz wachache tunavinjari eneo hilo bila shida!
 
Hesabu huwa ni msosi wangu, hata kids zangu nao wanameza kama maji! Nilimpa kid langu la std 2 likatema jibu utadahani linalia vile........oooh kumbe ni wtz wachache tunavinjari eneo hilo bila shida!
Lete basi majibu ya huyo mwanao.
 
Simple Arthmetic walitumia sh 70 tu..... na walirudohiwa sh 3 na muhudumu aliminya sh 2 jumla inarudi sh 75.......makofi hapo tafadhali jamani hesabu si za kukimbiwa hata kidogo
 
Inataka kuwa kama hisabati za sheikh Yahya vile !
 
Jamani na mie narusha ka-hesabu kangu haka.....

At the end of a banquet 10 people shake hands with each other. How many handshakes will there be in total?
with two people there is one handshake. kwa hiyo kwa watu watatu there are three handshakes ivyo ivyo kwa watu wanne there six handshakes. in general with n-1 people. the number of handshakes is the sum of the first n consecutive number; 1+2+3........-n since this sum is n(n-1)/2 we need to solve the equation n(n-1)/2=? if n=10 then 10(10-1)/2= 45
 
why do they call me this name? MAHESABU...? /MATHEMATICIAN....? some went as far as calling me JUJUMAN a.k.a KIPANGALA....!
because.......
 
why do they call me this name? MAHESABU...? /MATHEMATICIAN....? some went as far as calling me JUJUMAN a.k.a KIPANGALA....!
because.......
Unamikwala wewe ni sawa na Jogoo anaewahi kuamka kwa kupiga kelele wakati kufungua mlango atoke nje hawezi..ngoja nikutafutie moja la hadhi yako ukipata..ntakuzawadia Backhouse
 
Da huyo mwanao ataikumbuka hesabu hiyo uliyo mwambia ni ya chuo kikuu.
Na kifika darasa la nne atakutana nayo, sijui utaficha wapi sura yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…