ben van mike
JF-Expert Member
- Aug 27, 2010
- 467
- 190
Wadau naomba msaada wenu kidogo kwenye hii biashara ya malori ya kubeba mchanga na kokoto , hesabu kwa siku kwa lorry la tonne 7, 18 na 32 ni kiasi gani ? Katika hayo yapi yana demand sana ?
Natanguliza shukrani
Natanguliza shukrani