ben van mike
JF-Expert Member
- Aug 27, 2010
- 467
- 190
Inategemea na Maeneo ambayo gari itafanyia kazi.
Kwa Dar maeneo ya kazi ni Mbagala, Gongolamboto, kigamboni na Bunju.
Kwa Bunju ton 4 ni 60,000/70,000. Tone 16 ni 120,000/150,000 na Tone 32 ni 250,000 hadi 300,000.
Tone saba kwa huku zimepotea kabisa. Zimebaki Iveco Cargo chache ambazo zinashindwa kuhumili mikikimikiki ya kazi za mjini.
Usisahau kuna watu wa Tanroads wanapima mizani barabarani. Ukikamatwa fine zao minimum 2mil maxmum 6mil.
Ni Pm kwa zaidi.
da mbona kiasi ni kidogo sana kiongozi!
Eeeh kumbuka, wewe ndio tajiri ukiamua gari yako ifanye kazi usiku na mchana utapata double ya hizo pesa.
NB: usiku na mchana ni kwa 32 Tones only.
Kunachoangusha ni wakala wa Barabara (tanroads) kila siku lazima waje na fine zao kama nilivyokueleza. Kwa hiyo michakato mingi inakuwa huku kwa huku tu.
Lakini si mbaya kwa Investment ya 120mil kukupa return ya 7.2mil a month. Kama ukibahatika kupata gari nzuri. In a year unaweza pata 86mil. Na hapo ni tu kama gari unafanya kazi day time. Kama itakuwa inakesha means unapata pesa twice japokuwa gari inachoka haraka.
Inategemea na Maeneo ambayo gari itafanyia kazi.
Kwa Dar maeneo ya kazi ni Mbagala, Gongolamboto, kigamboni na Bunju.
Kwa Bunju ton 4 ni 60,000/70,000. Tone 16 ni 120,000/150,000 na Tone 32 ni 250,000 hadi 300,000.
Tone saba kwa huku zimepotea kabisa. Zimebaki Iveco Cargo chache ambazo zinashindwa kuhumili mikikimikiki ya kazi za mjini.
Usisahau kuna watu wa Tanroads wanapima mizani barabarani. Ukikamatwa fine zao minimum 2mil maxmum 6mil.
Ni Pm kwa zaidi.
Inategemea na Maeneo ambayo gari itafanyia kazi.
Kwa Dar maeneo ya kazi ni Mbagala, Gongolamboto, kigamboni na Bunju.
Kwa Bunju ton 4 ni 60,000/70,000. Tone 16 ni 120,000/150,000 na Tone 32 ni 250,000 hadi 300,000.
Tone saba kwa huku zimepotea kabisa. Zimebaki Iveco Cargo chache ambazo zinashindwa kuhumili mikikimikiki ya kazi za mjini.
Usisahau kuna watu wa Tanroads wanapima mizani barabarani. Ukikamatwa fine zao minimum 2mil maxmum 6mil.
Ni Pm kwa zaidi.
je hivi vi canter tani 2 au 3 hesabu yake ikoje???
Bei ya kokoto ikoje mkuu, kokoto ya Chalinze na kokoto ya Pwani (Kunduchi)
Mkuu nimempata best mmoja ana clearing and forwarding atanijuza kukichamkuu labda uingize details kwenye website ya tra , inaonekana Scania ndio nzuri ,
Wakuu kama napiga mwenyewe kilungu, maana dereva mwenyewe jee kuununua huu mchanga unaendaje kwa mende moja. Najua bei ya kuuza ni 250,000. Jee machimboni unauzwaje?
Kwa gari gani, Mende au Fuso?
gud,nimeielewa hiiiiInategemea na Maeneo ambayo gari itafanyia kazi.
Kwa Dar maeneo ya kazi ni Mbagala, Gongolamboto, kigamboni na Bunju.
Kwa Bunju ton 4 ni 60,000/70,000. Tone 16 ni 120,000/150,000 na Tone 32 ni 250,000 hadi 300,000.
Tone saba kwa huku zimepotea kabisa. Zimebaki Iveco Cargo chache ambazo zinashindwa kuhumili mikikimikiki ya kazi za mjini.
Usisahau kuna watu wa Tanroads wanapima mizani barabarani. Ukikamatwa fine zao minimum 2mil maxmum 6mil.
Ni Pm kwa zaidi.