Hesabu za VPL

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
6,170
Reaction score
7,665
Wakuu Habari,

Naona sasa kila msemaji wa club 3 za juu kwenye ligi kuu tanzania bara anasema kuwa timu yake ina nafasi ya kubeba ubingwa, nafikirii hii inakuja kwasababu hadi sasa hakuna timu ambayo imetangazwa kuwa bingwa.

Lakini wakuu kuna zile hesabu za ubingwa ambazo huwa zinapigwa na na kuna mechi moja huwa inasubiriwa kwa hamu kwa timu fulani kutangazwa kuwa bingwa.

Kwa kuzingatia ratiba ya ligii kuu tanzania bara hesabu za

1. SIMBA SC
2.YANGA FC
3. AZAM FC

Zimekaaje kuelekea Kutangazwa Kuwa Bingwa? Ukizingatia Mechi Inayofuata Simba Anacheza Na Ruvu Shooting.

Si vibaya tukajifundisha kufanya hizi hesababu au tukajikumbusha hesabu za ligi kuu tanzania bara sasa zimekaaje kuelekea kutangazwa kwa bingwa kabla ya msimu kuisha.
 
Hv bado Kuna watu wanapiga mahesabu ya ubingwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜…
Simba bingwa haiitaji hata elemu ya darasa la 7 kung'amua hlo..
 
Tunaomba TFF july 3 walete kombe uwanjan
 
Hesabu zipi tena.... VPL ina Bingwa mmoja tu mpaka Miaka10 mfululizo iishe....!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…