demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Njia rahisi kwa Mabingwa wa muda wote wa Tanzania kutwaa ni kumaliza mechi ya mwisho wakiwa nafasi ya pili katika kundi.
1. US Monastir
2. Young Africans SC
3. Real Bamako
4. TP Mazembe
(Kimsingi tutamaliza tukiwa nafasi ya pili)
Ambapo posible opponents wetu watakuwa ni wale walio ongoza makundi yao ambao ni aidha:
1. Rivers United
2. Malumo Galants
3. Far Rabat
Yanga SC atapangiwa - Far Rabat
Rivers United atapangiwa Malumo Galants
Kwa namna Yanga SC wanavyowaoneaga Waarabu basi matokeo yatakuwa
1st leg: Yanga SC 2 - 0 Far Rabat.
2nd leg: Far Rabat 1 - 1 Yanga SC.
Yanga SC atacheza fainali dhidi ya Malumo Galants.
FINAL:-
1st leg: Yanga SC 1 - 0 Malumo Galants.
2nd leg: Malumo Galants 1 - 1 Yanga SC.
YANGA SC BINGWA WA KOMBE LA SHIRIKISHO LA 2023.
1. US Monastir
2. Young Africans SC
3. Real Bamako
4. TP Mazembe
(Kimsingi tutamaliza tukiwa nafasi ya pili)
Ambapo posible opponents wetu watakuwa ni wale walio ongoza makundi yao ambao ni aidha:
1. Rivers United
2. Malumo Galants
3. Far Rabat
Yanga SC atapangiwa - Far Rabat
Rivers United atapangiwa Malumo Galants
Kwa namna Yanga SC wanavyowaoneaga Waarabu basi matokeo yatakuwa
1st leg: Yanga SC 2 - 0 Far Rabat.
2nd leg: Far Rabat 1 - 1 Yanga SC.
Yanga SC atacheza fainali dhidi ya Malumo Galants.
FINAL:-
1st leg: Yanga SC 1 - 0 Malumo Galants.
2nd leg: Malumo Galants 1 - 1 Yanga SC.
YANGA SC BINGWA WA KOMBE LA SHIRIKISHO LA 2023.