Heshima imeshuka na umakini umepungua sana Tanzania suala la viongozi wetu na watumishi wote

Heshima imeshuka na umakini umepungua sana Tanzania suala la viongozi wetu na watumishi wote

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Ushawahi jiuliza ukisikia spika wabunge nchi fulani ndani ya bunge akitoa maamuzi nchi nzima husimama kwa umakini kabisa kujua nini kinaelezwa.

Tofauti na huku kwetu japo ilikuwa zamani kipindi cha mkapa ukiona katokea kutoa hutuba kwenye TV basi mnakuwa makini kusikiliza.

Ila kwa sasa hata wakinitangazia kokote kwenye barabara, redio,tv na mitandao ya kijamii nahisi kama wote ni baba Levo na Mwijaku
 
Ushawai jiuliza ukisikia spika wabunge nchi fulani ndani ya bunge akitoa maamuzi nchi nzima usimama kwa umakini kabisa kujua nini kinaelezwa.

Tofauti na huku kwetu japo ilikuwa dhamani kipindi cha mkapa ukiona katokea kutoa hutuba kwenye TV basi mnakuwa makini kusikiliza.

Ila kwa sasa hata wakinitanganzaia kokote kwenye barabara,redio,tv na mitandao ya kijamaa na hisi kama wote ni baba levo na mwijaku
Haraka yote hii ya nini? Uwe unatulia basi unapoandika!
 
Ushawai jiuliza ukisikia spika wabunge nchi fulani ndani ya bunge akitoa maamuzi nchi nzima usimama kwa umakini kabisa kujua nini kinaelezwa.

Tofauti na huku kwetu japo ilikuwa dhamani kipindi cha mkapa ukiona katokea kutoa hutuba kwenye TV basi mnakuwa makini kusikiliza.

Ila kwa sasa hata wakinitanganzaia kokote kwenye barabara,redio,tv na mitandao ya kijamaa na hisi kama wote ni baba levo na mwijaku
CCM ni ya kuondokana nayo kwa vyovyote vile.
 
Ushawai jiuliza ukisikia spika wabunge nchi fulani ndani ya bunge akitoa maamuzi nchi nzima usimama kwa umakini kabisa kujua nini kinaelezwa.

Tofauti na huku kwetu japo ilikuwa dhamani kipindi cha mkapa ukiona katokea kutoa hutuba kwenye TV basi mnakuwa makini kusikiliza.

Ila kwa sasa hata wakinitanganzaia kokote kwenye barabara,redio,tv na mitandao ya kijamaa na hisi kama wote ni baba levo na mwijaku
Hapo ndio utajua umuhimu wa katiba mpya!
 
Back
Top Bottom