Heshima imeshuka na umakini umepungua sana Tanzania suala la viongozi wetu na watumishi wote

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Ushawahi jiuliza ukisikia spika wabunge nchi fulani ndani ya bunge akitoa maamuzi nchi nzima husimama kwa umakini kabisa kujua nini kinaelezwa.

Tofauti na huku kwetu japo ilikuwa zamani kipindi cha mkapa ukiona katokea kutoa hutuba kwenye TV basi mnakuwa makini kusikiliza.

Ila kwa sasa hata wakinitangazia kokote kwenye barabara, redio,tv na mitandao ya kijamii nahisi kama wote ni baba Levo na Mwijaku
 
Haraka yote hii ya nini? Uwe unatulia basi unapoandika!
 
CCM ni ya kuondokana nayo kwa vyovyote vile.
 
Hapo ndio utajua umuhimu wa katiba mpya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…