CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
Kwa jinsi wachezaji walivyo wamechoka wengine kama inonga na sakho hawajali utoto mwingi tutarajie aibu super league.
Ingekuwa na uwezekano simba wajitoe au wanachama wa simba waandike barua cairo kuomba hilo.
Wazee wa ten pasenti mbona hamna huruma jamani mnaokoteza tu wachezaji
Ingekuwa na uwezekano simba wajitoe au wanachama wa simba waandike barua cairo kuomba hilo.
Wazee wa ten pasenti mbona hamna huruma jamani mnaokoteza tu wachezaji