balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Mama ni mlezi,mama ni mfariji na mama ni mwenye huruma.Mama huwa mpole na mnyenyekevu.Huyu amekuwa kama mfalme wa wamoabi,mbabe na si mama.Namkataa na mabavu yake yote,mimi si mama yangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama ni mama tu, hakuna mbadala wake. Hata akikasirika ni ili mtoto ajirudi lakini kamwe mama wa kweli hatamdhuru mwanae kwa sababu yoyote.Mama ni mlezi,mama ni mfariji na mama ni mwenye huruma.Mama huwa mpole na mnyenyekevu.Huyu amekuwa kama mfalme wa wamoabi,mbabe na si mama.Namkataa na mabavu yake yote,mimi si mama yangu.
Hiyo hutokea kabla mtoto hajafika miaka 18.Baada ya hapo hakuna kitu kama hicho.Nendazako hukoo. mama akiona mtoto analeta zakuleta lazima akufinyi kidogo adabu ikae sawa
Nimemkataa mama ye nu chura kiziwiNa wewe sio Mwanawe vilevile.
Wewe ni
Mwana mpotevu, wala si mwana wa kheri.
Tena ni mbabaifu, unaejifanya hodari
Wakati mwengine hujifanya mnyofu. Kumbe ni hatari.
Mwana wewe ni mtovu, wa adabu na kiburi.
Hakika lo
Mama ni mlezi,mama ni mfariji na mama ni mwenye huruma.Mama huwa mpole na mnyenyekevu.Huyu amekuwa kama mfalme wa wamoabi,mbabe na si mama.Namkataa na mabavu yake yote,mimi si mama yangu.
🔨🔨🔨Mama ni mlezi,mama ni mfariji na mama ni mwenye huruma.Mama huwa mpole na mnyenyekevu.Huyu amekuwa kama mfalme wa wamoabi,mbabe na si mama.Namkataa na mabavu yake yote,mimi si mama yangu.
Tatizo ni deep statesijui pale ikulu kuna nini??? Mtu anaweza kuingia akaonekana mzuri mwanzoni ila akabadilika baada ya kuzungukwa na machawa!!
Time Will tale
Mshirika wa mauaji ni yule anayepinga maandamano haya ya hakiNendazako hukoo. mama akiona mtoto analeta zakuleta lazima akufinyi kidogo adabu ikae sawa
Ni kama ilivyo kwa madereva bodaboda. Unakuta aliyekuwa dereva wa kiongozi fulani, akiingia tu kwenye kuendesha bodaboda anakuwa kama wao..!! Ndo nature ilivyo, automatically unaadapti mazingira uliyopo, na pengine bila hata wewe kujua.sijui pale ikulu kuna nini??? Mtu anaweza kuingia akaonekana mzuri mwanzoni ila akabadilika baada ya kuzungukwa na machawa!!
Unasemaaa..!!??Time Will tale
Kwani mama yako anaitwa nani? Alibeba mimba yako,akakuzaa na kukulea halafu unamkana hivi. Inafikirisha sana.Mama ni mlezi,mama ni mfariji na mama ni mwenye huruma.Mama huwa mpole na mnyenyekevu.Huyu amekuwa kama mfalme wa wamoabi,mbabe na si mama.Namkataa na mabavu yake yote,mimi si mama yangu.
Huyu si mama kabisa hata ndoa alikuwa mke wa tatu reject! Mrupo mkubwa umezaa na jakaya na wengi wengineo! Ana majeraha makubwa ya wanaume waliokula na kuacha na sasa yuko kwenye state of denial ya kufa mtu! Ni Jexebel properMama ni mlezi,mama ni mfariji na mama ni mwenye huruma.Mama huwa mpole na mnyenyekevu.Huyu amekuwa kama mfalme wa wamoabi,mbabe na si mama.Namkataa na mabavu yake yote,mimi si mama yangu.