WAZO2010
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 1,615
- 3,784
Leo May, 1, 2021. Rais Samia S. Hassan ametangaza kufuta riba ya retention fee ya 6% (Riba ya wizi). Awali tulilipa 10% kama riba ya thamani yote; japo wao waliita penati. Ukweli una bakia kuwa ni riba tu. Na 6% kama retention fee (riba ya kutunza thamani ya fedha). Na makato kwa ujumla yalikuwa 15% ya Gross Salary.
Riba ya 10% ina jumuisha faida hasa kwa mabenki, kutunza thamani ya fedha na athari yoyote ya hasara kibiashara, mfano mnufaika kufariki bila kulipa. Hivyo 6% ilikuwa covered ktk riba ya 10%. Hii 6% ulikuwa ni wizi tu kuziba Mapengo ya wizi wao. Hata ukienda CRDB, NBC, nk uta kopa 8M wata piga na riba mfano 15%, jumla itakuwa mil 12 mfano. Hili deni litapungua kadiri ulipavyo.
Tofauti na huu wizi kwa maskini. Tena wizi wa Serikali kwa watu maskini walioshindwa kulipiwa na Wazazi/walezi wao. Una lipa Million 1.4 kwa Mwaka. Then, mwaka huohuo, retention fee ina ongeza deni lako kwa laki 3. Binafsi sijawahi shuhudia duniani Mkopo wa Kijinga kama huu!!
Hivyo basi baada ya msamaha wa Rais. Kwa ambao tuna lipa bado na ambao hawaja anza kulipa au wanufaika wajao tuna omba INVOICE mpya za Penalt 10% pekee. Nyie kutoka 8% kwenda 15% mlifurahi na kuanza kukata immediately. Pia mikopo ya 2005 hadi 2011 hawa kupaswa kuwa kusthiriwa na sheria hii mpya ila mlikiuka sheria , kanuni na mikataba yao na kuwajumuisha pia. Hivyo hivyo tunaomba Invoice mpya za madeni mapya.
Muosha nae huoshwa! HESLB hawakawii kuleta siasa na janja janja nyingii. Angalizo: hii mikopo ni pesa za kodi zetu, ndg zetu, kaka, baba, mama na wajomba na Shangizi zetu siyo mali yenu. Msijifanye eti mna uchungu sana na faida kwa Loan Board kisa nyie mna mishahara na maposho makubwa. Na mna wasomesha watoto wenu bila Mikopo.
Tunaomba Invoices Mpya.
Riba ya 10% ina jumuisha faida hasa kwa mabenki, kutunza thamani ya fedha na athari yoyote ya hasara kibiashara, mfano mnufaika kufariki bila kulipa. Hivyo 6% ilikuwa covered ktk riba ya 10%. Hii 6% ulikuwa ni wizi tu kuziba Mapengo ya wizi wao. Hata ukienda CRDB, NBC, nk uta kopa 8M wata piga na riba mfano 15%, jumla itakuwa mil 12 mfano. Hili deni litapungua kadiri ulipavyo.
Tofauti na huu wizi kwa maskini. Tena wizi wa Serikali kwa watu maskini walioshindwa kulipiwa na Wazazi/walezi wao. Una lipa Million 1.4 kwa Mwaka. Then, mwaka huohuo, retention fee ina ongeza deni lako kwa laki 3. Binafsi sijawahi shuhudia duniani Mkopo wa Kijinga kama huu!!
Hivyo basi baada ya msamaha wa Rais. Kwa ambao tuna lipa bado na ambao hawaja anza kulipa au wanufaika wajao tuna omba INVOICE mpya za Penalt 10% pekee. Nyie kutoka 8% kwenda 15% mlifurahi na kuanza kukata immediately. Pia mikopo ya 2005 hadi 2011 hawa kupaswa kuwa kusthiriwa na sheria hii mpya ila mlikiuka sheria , kanuni na mikataba yao na kuwajumuisha pia. Hivyo hivyo tunaomba Invoice mpya za madeni mapya.
Muosha nae huoshwa! HESLB hawakawii kuleta siasa na janja janja nyingii. Angalizo: hii mikopo ni pesa za kodi zetu, ndg zetu, kaka, baba, mama na wajomba na Shangizi zetu siyo mali yenu. Msijifanye eti mna uchungu sana na faida kwa Loan Board kisa nyie mna mishahara na maposho makubwa. Na mna wasomesha watoto wenu bila Mikopo.
Tunaomba Invoices Mpya.