Bakangana Jpeter
Member
- Dec 8, 2018
- 12
- 1
Pole Sana mkuu! Haya Mambo ni magumu sana,lakini Hawa watu si walisema kigezo Chao namba moja Ni kwa waombaji waliofiwa na wazazi au mzazi?kwa nn wanafanya hivi?Message nimepata chuo dar nimetoka mkoa nilitegemea mkopo ntapata ndo niendeshe masomo yangu sababu sina wakunisupport baba asha fariki na wakati wa application niliambatanisha vyeti vyote mapaka sasa sioni ata uafadhali wa chuo sababu sifanya registration ada sina inefanya appeal mpaka sasa amna matokeo yeyote je imefika mwisho wa kuoa majina ya wanufaika wa mikopo?
But subiri majibu ya appeal mkuu.!Write your reply...sijajua kwa nini wanafanya iv inafika time nawaza naona bora nihailishe chuo mwaka uu nijipange upya mwakani ...
na kibaya zaidi awatoi tariifa kama wanavyo sema wao na kila nikifuatilia wanasema subiri daa inakua noma sana kwangu...
Daaa ila wanazingua sana mda tunapoteza kusubili pata potea na hii mikopo inawafaidisha wenye kwao kupo good ila sis choka mbaya inatunyonya tu ela zetu za applicationSisi wengine tushaaza kulima kabisa,appetite ya kusoma imeaza kuisha mdogomdogo!
Vijana tusipoteze mda kabisa na Elimu ya Tz stress tupu.
Eeeh ni kweli wameto mm inaelekea siitajikii jina langu bado alijaapper na navithibitisho vyote nnavyo vya kupata mkopo. Nimejua hawako na mm niendelee na mixhe zingine tu..xul IPO tu...Nasikia wametoa majina ya walioappeal mda sio mrefu
wapi? Mbona website yao haina taarifa kama hizo?Majina washa toa ya kuappeal
Hayo majina yanapatikana wapi?Wametoa
wapi? Mbona website yao haina taarifa kama hizo?
sawa unaejua unaonekana upo kuniombea mazuri bila ya ww kujua bush narudi na naenda kulima boom lipo tu ntarikutaa aijalishi LA HESLB au LA mtaa...is better later than never....Mtoa mada chuoni unaenda kufanya nini wakati kutengeneza sentensi kamili tu kwa lugha rahisi na fasaha ya kiswahili huwezi? unashindwa na watoto wa darasa la nne? Nenda kalime, chuo kikuu hapakufai
Asante sana HESLB kwa kuwanyima mikopo mapopoma kama hawa..
Low thinking capacity.... Walio feli wanamaneno mengi, najua unamuonea wivu dogo kula 700k za loan board, kwa sababu wew huna vigezo hata vya kuomba mkopo bod, pole sana kilaza soma ufaidi keki ya taifa....Mtoa mada chuoni unaenda kufanya nini wakati kutengeneza sentensi kamili tu kwa lugha rahisi na fasaha ya kiswahili huwezi? unashindwa na watoto wa darasa la nne? Nenda kalime, chuo kikuu hapakufai
Asante sana HESLB kwa kuwanyima mikopo mapopoma kama hawa..
Huko nilishatoka kitambo sana dogo, na sasa nakula keki ya taifa tena bila makato ya bodi yenu hiyo pendwa.Low thinking capacity.... Walio feli wanamaneno mengi, najua unamuonea wivu dogo kula 700k za loan board, kwa sababu wew huna vigezo hata vya kuomba mkopo bod, pole sana kilaza soma ufaidi keki ya taifa....
Kwa taarifa tu ni kwamba mkopo loan board lazima atapata ni swala la muda tu, viaz kama nyie wenye chuki, wivu na roho mbaya mtapata tabu sanaa
Co fair Asa ivo jamaniiiiMtoa mada chuoni unaenda kufanya nini wakati kutengeneza sentensi kamili tu kwa lugha rahisi na fasaha ya kiswahili huwezi? unashindwa na watoto wa darasa la nne? Nenda kalime, chuo kikuu hapakufai
Asante sana HESLB kwa kuwanyima mikopo mapopoma kama hawa..
Hapana mkuu hawa vijana wanaudhi sana, wanalalama tu lakini kiukweli hawatendei haki elimu zao.Co fair Asa ivo jamaniiii
Nashukuru kulitambua iloo na kulalama inatokea pale disappointment zinakua nyingi natokea local family nilijitaidi kusoma kwa bidii nikiamini kwamba itafika point home wataneemeka ila katika izi movement za masomo nakutana na mambo magumu ni kama aya yalonikata sasa... mkopo sijapata wakunisomesha asha fariki na registration chuo mpaka sasa sijafanya sababu nimekosa fee naona bora nihairishe mwaka uu mwakani niombe tena nikiwa teari nimejipangaHapana mkuu hawa vijana wanaudhi sana, wanalalama tu lakini kiukweli hawatendei haki elimu zao.