HESLB.. Bodi ya Mikopo una Virus

Josh Michael

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2009
Posts
2,523
Reaction score
87
Katika Kipindi hiki cha Wanafunzi wa elimu ya juu wakijiandaa na masomo yao na kutegemea mikopo bodi ya mikopo, Ila cha Kushangaza ni kwamba Website ya bodi ya Mikopo imevamiwa na Virus, Tunaomba msaada wa watu wahusika na IT wote wa bodi ya mikopo, tunaomba ushirikiano wenu.
 

mh! sasa hii inaingiliana vp na mtandao wa HESLB kuwa na virus?!!!.......mode, tafadhalini tunaomba mngeimuvuzisha hii kwenda siasa
 
mh! sasa hii inaingiliana vp na mtandao wa HESLB kuwa na virus?!!!.......mode, tafadhalini tunaomba mngeimuvuzisha hii kwenda siasa
kosa limerekebishwa; ilikusudiwa kuwa kwenye thread ya tulikosea kumchagua JK.....
Pole kwa usumbufu
 
Hasa kwa tunaotumia avast antivirus inakupa warning kali na unalazimika kufunga website
malware name: HTML.Ilframe.C(trj)
malware type: Trojan horse.
Webmaster ebu rekebisha kosa hilo haraka sana!
 
Sisi tulishatoa warming muda mrefu sana juu ya jambo hili
 
wakuu kama kuna mtu mwenye uelewa juu ya mikopo inavyotolewa anijuze kidogo hasa kwenye kipengele cha TOTALWTPERCENT
 
Naona kitu kipo hosted udsm, taabu kweli kweli!
JojiPoji weka hicho kipengele chote watu wakusaidie.
 
Mimi na wewe hatujui kabisa maana naona kuna 100A, 10A 30A C D and alama nyingine sasa hatujui kabisa
 
Michael vipi wewe umepata hiyo website? mimi tokea jana nahangaika sipati Adobe inakataa kufunguka. Kama kuna mwenye msaada tueleweshane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…