Heslb div 3.14 mpaka 3.16 kupewa mkopo ndo sera yenu.

<br />
<br />
du umenikumbusha mbali sana pale pugu boys
 
hawa wanataka kuwasumbua tu watoto, ikiwa bajeti haitosh, itatosha baada ya kuappeal? Wanakera wapuuz hawa, tena mtu kama ana wazazi/mzazi asijaribu hata kuappeal
 
Kazi ya Bodi ya Mikopo ni nini?

Kuna mdogo wangu alienda kuwauliza kama anaweza kulipa mkopo wake aliopewa kwa mkupuo 1995 - wakamjibu kuwa asubiri kwanza wana kazi nyingi!
 
WALIOKOSA MKOPO ni wale waliomba vitivo ambavyo havipo kwenye first priority ya gvnt! ni mtazamo 2 wadau!
 
Yan,for the 1st time in my adult life nimetokea kuichukia serikali ilyoko madarakani.
 
Kazi ya Bodi ya Mikopo ni nini?<br />
<br />
Kuna mdogo wangu alienda kuwauliza kama anaweza kulipa mkopo wake aliopewa kwa mkupuo 1995 - wakamjibu kuwa asubiri kwanza wana kazi nyingi!
<br />
<br />
bodi ni w.a.s.e.n.g.e sana,kuna jamaa yangu alikua anasoma sua akadisco bt cha kushangaza anapewa bumu had leo.
 
<br />
<br />
Nitarudi
 
we unaongea nn? kuna jamaa wa HKL ana E E F amepata tourism chuo cha stephano memorial na mkopo juu na si peke yk bal wapo weng 2. hii ni heslb au HAZABU' Ebu nisaidieni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…