Abuwhythum
JF-Expert Member
- Jan 7, 2015
- 837
- 495
Ss wengine tumeendelea kukatwa bodies 15%.Nimeshangaa kuona mwezi huu sijakatwa 15% kwa ajili ya bodi ya mkopo. Ndo nimemaliza deni? Wamesahau? Nimesamehewa? Au ndo wamerudisha 8% kwa maana mwezi uliopita walikata pesa ya miezi miwili (Februari & Machi) kwa mkupuo?
Ikoje hii hali kwa wenzangu!?
Au ni kwa kuwa sijawahi kuweka Comment mbaya juu ya BASHITESs wengine tumeendelea kukatwa bodies 15%.