Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,745
- 11,267
Tangu ijumaa nakuja mjini kujaza fomu za maombi ya mkopo kwa njia ya mtandao, nalipa sh.2000 kwa saa kenye huduma za internet, bada ya kujaza taarifa zangu kwa usahihi kabisa nimeshindwa ku-Print hizo taarifa kwani ninachokiona ni hiki hapa chini:

Hadi naandika uzi huu watu kama 6 hivi tulipatwa na tatizo hili la kuchapisha fomu zetu. Tukipiga simu yenu haipokelewi, tufanyeje sasa kama si uonevu huu?

Hadi naandika uzi huu watu kama 6 hivi tulipatwa na tatizo hili la kuchapisha fomu zetu. Tukipiga simu yenu haipokelewi, tufanyeje sasa kama si uonevu huu?