Uzushi Mtuupu.. Leo nilikua bodi pale.. Aisee Mkurugenzi anasema hakuna fomu itatoka nje ya HESLB.. Kama Mdhamini wako hajatia Saini nenda nae mguu kwa mguu.. Walio Jkt Imekula kwao!!.. Hyo ndio nukuu niliyopata kwa visikio vyangu mwenyewe.. Leo watu walikua ni wengii.. So kama kuna m2 anamakosa aende pale mapemaa