KERO HESLB ina changamoto kwenye mfumo wake wa OLAMS

KERO HESLB ina changamoto kwenye mfumo wake wa OLAMS

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Joined
Jul 20, 2024
Posts
42
Reaction score
98
Bodi ya mkopo kuna changamoto katika mfumo wake wa maombi ya mkopo(OLAMS) haufunguki kabsa. Sasa sijui watu husika wameshaiona changamoto hii maana muda ni mali na deadline ikifika wanapita mulemule hawakumbuki kuwa changamoto hii imechelewesha wanafunzi kufanya application mapema.

Kutokana na ukubwa na umaridadi wa jukwaa letu hili la JamiiForums wahusika wataweza kupata habari na kuifanyia kazi kwa haraka iwezekanavyo ili wanafunzi waweze kumaliza process mapema.

Naomba kuwasilisha.

Pia soma:OLAMS, mfumo wa HESLB ni aibu tupu!
 
Bodi ya mkopo kuna changamoto katika mfumo wake wa maombi ya mkopo(OLAMS) haufunguki kabsa, sasa sijui watu husika wameshaiona changamoto hii maana muda ni mali na deadline ikifika wanapita mulemule hawakumbuki kuwa changamoto hii imechelewesha wanafunzi kufanya application mapema.

Kutokana na ukubwa na umaridadi wa jukwaa leti hili, Jamiiforums wahusika wataweza kupata habari na kuifanyia kazi kwa haraka iwezekanavyo ili wanafunzi waweze kumaliza process mapema.

#Naomba kuwasilisha.

Pia soma:OLAMS, mfumo wa HESLB ni aibu tupu!
 
Matatizo ni hayahaya kila mwaka
 
Kuna kipengele kimeongezwa kwenye preliminary information cha Unknown father na unknown mother, shida ni kuwa kila nikijaza taarifa hizo kwenye preliminary zinaoneka vyema ila nikienda kwenye PREVIEWS kipengele cha mwisho ili kudowload form still bado ni Unknown father Yes, kuna aliyekutana na hii changamoto na amejinasua VIP?
 
Back
Top Bottom