HESLB Kuachia majina waliopata mkopo Ijumaa tarehe13.

Status
Not open for further replies.
Acheni ngojera zenu hakuna anaejua siku wala saa hata bodi wenyewe hawajui ni lini watatoa majina jaribu kumuomba mungu ili uwemo.
 
Acheni ngojera zenu hakuna anaejua siku wala saa hata bodi wenyewe hawajui ni lini watatoa majina jaribu kumuomba mungu ili uwemo.

Hizi ni habari za jikoni. Kama huamini muulize mzee Nyatega CEO wa Heslb.
Tatizo madogo yamepagawa. nikizikamata nanunua laptop kwanza
 
vigezo ni priority and non priority

sio lazima sana maana kuna wengine hukosa ingawa ana vigezo vyote.... Ikiwemo kozi husika anayoenda kusoma ni priority mf kuna jamaa yangu anachukua engineering course ila hapewi hata sent tano... O'level and advance zote alisoma goverment tokeo zuri tu alikuwa nalo.....
 

Kama iuhudhuria semina pale heslb ungeeleweshwa,wamesema mwaka huu uombaji upo tofauti,ndio maana umepewa option ya priority na non priority ili ujue kabisa chaguo lako na uhakika wa mkopo,na ukipata course ambayo ni priority una matumaini yote kupata mkopo hata wa asilimia 0 na kama ni non ndio ujue bahati nasibu na hakuna migomo ndio maana baada ya kuchagua vyuo una agree kwamba mkopo si lazima,si uliiona hiyo option?
 
intellegensia kwani nawe unachombo cha ukachero? Majina yapelekwe trh 11 halafu 13 helsb wawe wamemaliza loan allocatn? Usiwawazishe madogo,ijumaa si mbali watakugeukia tu!

Na kingine hata majina ya third round hayajatoka bado huyu jamaa anabahatisha
 
Wanipe au wasinipe mkopo.budget imeshapangwa kwa siku sh 3000 za ktz

Kwa ifm nauli pantoni tu.........ugali ghetto samaki ferry.......ugali saa 4 asubuhi jioni tumihogo o maandazi........siku imeisha
 

Kaka umeumbuka siku hazigandi!!!
 

Aibu,siku hizi hata uonekani! We utakuwa wa Ndiuka
 
kwaaibu kakimbia jukwaa na thread yake njoo uku uyaoge matusi
 
mbulula ww unajifanya mjuaji kumbe hamuna kitu,mbulula ww!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…