jimmymziray
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 816
- 515
may be!!! but what i know mpaka j5 this week ndo ntapata habari yangu rasmi
Re: HESLB Kutoka Jikoni kabisa
kutoka jikoni kwa vichaa wa molembe!!!
hizi taarifa ni za kweli kwani ata mie nimezipata kwa bro yupo anafanya kaz bodi ya mkopo wakuu!
Huna lolote ila unahitaji mimba na hapa jf hupati mtu.
kama mapishi ndio hvyo basi chakula cha heslb kimeshaungua..!
swala la kupata majina hilo halina shaka kabisa kwani bodi na wao wanashare baadhi ya server za TCU pia systema haikuwa manual thus kila data ipo......all in all hata uwe round ya kumi kama tu umekidhi vigezo LOAN inakuhusuvp kuhusu waliopata selection second round majina yalfika heslb kwel?yacjeyakawa majanga!!
mkuu watu wa Nacte tu ndio wanasuburiwa wengi wao data zao ilikuwa ngumu ku-match na system nzima ya loan distribution huku kukiwa hakuna confirmation kutoka TCUuhakika wa kutoa ni lini?
intellejensia hairuhusu kaka........Source of information please!
Ahsante!! ndio kazi yangu kama msomi tena wa ngazi ya degree......"to be educated means to combat challenges"Mimi nakupongeza kwa kuwareply wote waliokukashfu!!! Static mkaka no fear!!!
mara nyingi vijana wa form six na first year wanashindwa kuelewa dhana halisi ya kuwa msomi n.b.kama mtu ameanzisha topic na unahisi ni uongo mpinge kwa hoja na sio kumkashifu.......any way thanks since for great thinker like us challenges is our foodMimi nakupongeza kwa kuwareply wote waliokukashfu!!! Static mkaka no fear!!!
we si yule mzee wa kubebwa mpaka kazini utataka ubebwe ......jipange!!!!spleen kumbe unaishi milembe,,dah nilikua sijui
we ulitaka wawe wakina nani? Waweje?Hawa ndio wasomi wa taifa letu!
it's not always the case pitia uzi vizuri kama unasoma swali la LINEAR PROGRAMMING utagundua kituishu ni kwamba wiki hii haipiti.
what does your sentence means? Does it relates with any comments inside the thread? Correlates it brieflyTatizo la kutosoma LOGIC kwenye hesabu