Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaman mwenye taarifa atujuzeNaomba kujuzwa jamani kama HESLB safari hii watakuwa na awamu ya pili ya maombi ya mikopo 2014/15
serikali hii sijui kama wanajua wanachokifanya!hivi inaingia akilini mtu aaplly chuo na mkopo huku matokeo hana!ama ndo kusema mwaka huu wote watafaulu?na ikumbukwe walengwa haswa ni hao wanao subiri matokeo
hapo ndipo waebrania 11:1 inapotumika. Imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.
Serikali hii sijui kama wanajua wanachokifanya!hivi inaingia akilini mtu aaplly chuo na mkopo huku matokeo hana!ama ndo kusema mwaka huu wote watafaulu?na ikumbukwe walengwa haswa ni hao wanao subiri matokeo
kwani awamu ya kwanza deadline ilikua lini?
Yaan matokeo hayana huusiano na kuomba mkopo labda kama wewe ujiamini kama uwez kufauru.
Muda umesha ongezwa Mpaka july 31 2014.kama haukuaply Kama mm xaxa muda ndo huu,Nawapongeza xana heslb KWa hili