Naona sis tuliokosa kabisa, mmeshatusahau kabisa. Natawatakia maandamano ya boom lenu. Ni mimi pangu pakavu...!
Ndo tatzo la kusoma vyuo ambavyo watoto wengi ni wa mafisadi,udsm weng we2 ni watoto wa walala hoi so bum likichelewa kdogo tunaingia road.
Mtotot wa fisadi ni yupi? Na utamtambuaje kuwa ni mtoto wa fisadi?Ndo tatzo la kusoma vyuo ambavyo watoto wengi ni wa mafisadi,udsm weng we2 ni watoto wa walala hoi so bum likichelewa kdogo tunaingia road.