Ofisi za HESLB -Mwanza wajirekebishe wanahudumia wateja kwa kujisikia na hawana haraka. Mfano mtu anataka statement ya deni lake tu inamchukua mtu masaa mawili hadi nane.
Hivi statement ya deni inafuatwa wapi?. Yaani mtu anatoka Morogoro hadi Dar se salaam hujapata loan statement.
Waziri anayehusika na hawa watu wanahitaji kukumbushwa namna ya kulinda rasilimali muda.
Na kama wanatafuta over time basi wanaumiza Watanzania pasipo sababu.
Hivi statement ya deni inafuatwa wapi?. Yaani mtu anatoka Morogoro hadi Dar se salaam hujapata loan statement.
Waziri anayehusika na hawa watu wanahitaji kukumbushwa namna ya kulinda rasilimali muda.
Na kama wanatafuta over time basi wanaumiza Watanzania pasipo sababu.