HESLB NA NACTE husika hapa ( UDOM).

HESLB NA NACTE husika hapa ( UDOM).

ismailyy

Senior Member
Joined
Jul 26, 2014
Posts
123
Reaction score
18
Jaman majina ya waliochaguliwa kusoma ORDINARY DIPLOMA FOR SECONDARY EDUCATION yalitoka yamechelewa ila nacte wakatuelekeza kuwa tuombe mkopo wakati muda wa kuomba mkopo ulikuwa umeishapita .je waliotuma maombi muda muda umeisha pita maombi yao yatapokelewa na kufanyiwa kazi??????
 
Back
Top Bottom