HESLB to spend Sh325bil.

sasaaa kuna wengine vyuo vinafunguliwa tareh 1 october kaama stefano moshi memorial university wakati majina yatatoka wiki ya 2 mwezi huo,je sio kuwavuruga wanafunzi hapo maana kuna wengine wanasubiria wapate mkopo kwanza ndo wawe na uhakika wa kwenda vyuoni...NAWASILISHA HOJA
 
Sasa tangazo la UDOM waliloweka kwenye website yao, ”MWISHO WA KULIPA ADA NA DIRECT COST NI TAR. 30 SEPT 2013 NA ASIYELIPA MPAKA TAREHE HIYO HATAPOKELEWA” halina maana tena?
 

Mbona SAUT na matawi yake walishafungua siku nyingi.
 
Hii sasa si ni kuhatarisha usalama wa mabinti zetu jamani? Kuja kuipata hiyo hela mafataki yatakuwa yamefanya kazi!! Hii kweli lazima ichukue muda, maana sikuona mahali tuliombwa bank account, hii inamaanisha kuwa lazima kwanza tufike chuoni ndo huo utaratibu ufanyike! MAJANGAAA!
 
Huu mwaka siuelewi kabisa kila kitu hakina taarifa sahihi. Leo bodi, kesho tcu, kesho tena Jkt, bado zile transfer!! Aaaarggh nimechoka sasa liwalo na liwe tu
 
sawa ina maana kuwa bodi haina habari za vyuo ama ni makusudi tu kuweza kutatua hilo tatizo mapema maana wanafunzi walio wengi wanategemea mkopo sasa bila kupata taarifa maalum ni ngumu kumfanya mwanafunzi awe huru kwenda chuo wakati hana uhakika wa mkopo
 
Kupata mkopo ni mwezi wa 12, nawashauri wenzangu mjipange hasa kina siye.Vyuo vikifungua zinafanyika orientation nadhani mnajua zinachukua mda gani,then taratibu za kufungua acc.kwa wale ambao hawana kwa hiyo mpaka mje mzishike ATM card zenu, mmmh siongezi neno....
 

muhimu uwe na plan B ikiwezekana. duh! tunapenda miteremko!!
 
Sasa hizi ndio taarifa wanazotakiwa kutoa wasomi, sio mnakurupuka tu pyeee! pyeeee!
Hongera mtaalam 1
 
Hiyo hela ni nyingi tu watupe hata flat rate.
325mil
95,000
 
Vjana mna wenge na pesa.... Mnatakiwa kusain kwanza alf pesa baadae.... So pesa itatanguliwa den mtaitwa kusain...achen wenge mjin hapa
 
jaman eti hela ya field pract and trainings huwa inatofautiana
coz kuna watu wana 620000 na mimi nina 130000 yani
sielewi wanaangalia kigezo gan kukupa hii hela!!!??
 
jaman eti hela ya field pract and trainings huwa inatofautiana
coz kuna watu wana 620000 na mimi nina 130000 yani
sielewi wanaangalia kigezo gan kukupa hii hela!!!??

aisee mimi mwenyewe nashangaa kwasababu wengine wanapewa mara 620,000 na wengine 480,000 sijui inakuaje hapo
mwenye kujua twaomba ufafanuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…