CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,357
- 6,424
Common sense dictates hivyo, toeni loan allocation wazazi wetu wajue la kufanya in any case one needs to sell whatever he/she has to send a child to school.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukizingatia kuna baadhi ya vyuo vinaanza kufungua mid September hii ni hatari sana, wanaweza sababisha tukauza mali kwa bei ya hasara
embu acheni wenge bhana mwaka jana mbona yalitoka kwenye wiki ya kwanza ya september na hakuna kilicho haribika...kama ipo ipo tu!!
embu acheni wenge bhana mwaka jana mbona yalitoka kwenye wiki ya kwanza ya september na hakuna kilicho haribika...kama ipo ipo tu!!