Heslb ukweli ndo huu

Abloodi

Senior Member
Joined
Oct 27, 2011
Posts
165
Reaction score
12
habari ni kuwa ,haya najina yaliyotoka niya wale wanafunzi wanaoenda first year mwaka huu,then yatafatiwa na majina ya wale wanafunzi wa chuo wanaopata mkopo lakini waliomba tena ili waboreshewe kiasi cha mkopo wanaopata ....alafu yatafuata majina ya wale ambao walikuwa wasoma bila mkopo kabisa hivyo waka apply upya.........
EVERYTHING GONNA BE OKEY



FROM TRUSTED SOURCE
:amen:
 
Inaniuma sana kukosa mkopo.. huku taarifa zinaonyesha kuwa watanzania(viongozi) wanazidi kuficha mabilioni uswizi
 
cha msingi ni kujipa moyo...kuna ku appeal ......hata mi nilikosa lakini sikuacha chuo ...nmeendelea na nimeaplly tena ....so dnt give up
 
kama umenielewa vizur ,hao list yao bado inashughulikiwa
 
lakini idadi yao haiwez fanana na yetu kipindi kile...cha msingi wasiahirshe mwaka wangojee ku appeal tu
 
Unashukuru Mungu watu kukosa ama!! sijakuelewa"/

sjamaanisha hvyo kaka bt namshukuru MUNGU nimepata pia waliokosa msikate tamaa blv me yah time wil come..so thr z no reason to frustrate and HESLB may reallocate ur names...
 

Majina ya continous waliopata mkopo na wasiopewa kutokana na makosa ktk maombi yao yalishatumwa vyuoni mapema na kubandikwa ata kabla ya haya ya first yr.Sema wale continous ambao hawakuwa na mkopo wakaomba tena ndio kizungumkuti maana hamna taarifa rasmi mpaka sasa kuhusu atma yao.
 
Naomba mnipe link inayoonesha list ya walipata mkopo HESLB yaani first years maana nikiingia kwenye website ya HESLB iniambia kuwwa "account has been suspended" nakosa cha kufanya nisaidieni wadau!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…