habari..nimefika hapo ofisi ya mkopo tangia saa kumi na mbili na nusu asubuhi....ila daah hadi sasa no service yaan...
habari..nimefika hapo ofisi ya mkopo tangia saa kumi na mbili na nusu asubuhi....ila daah hadi sasa no service yaan...
Twasubiri hukumuSaivi kaja huyo mmama na waandshi wa habari tumeanza kikao upya
Jamani mungu awaongoze katika hili....
Poleni sana mliokosa mikopo,mungu ni mwema atawainua tu..
Saivi kaja huyo mmama na waandshi wa habari tumeanza kikao upya
Wanacheza na maisha ya watoto wa maskini,ni bora wawape ata kidogo
Yani kama pesa ni ndogo angalau tungegawana hizo hizo kuliko kutotupa kabisaa
Any newz walioko helbs plz
Wallahi mi inaniuna sana sana,nionapo haya madudu ya heslb.....
Nimesoma seminary kuanzia nursery,primary,o'level...
Dingi,maza wote wasuper,alafu nimevuta 100%,at the same time kuna mtoto wa kabwela anachezea kitu cha "not secure"
HESLB ni useless,hawana ufanisi
emu waambie hao heslb wakutoleee uwe unapata boom tu iyo nyingine wampe uyi kabwela