Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,133
- 661
JAMANI HALI SIO HALI KWA MATOKEO YA HESLB HADI SASA WATU 5 WAMEPOTEZA MAISHA KWA 7B YA KUKOSA kuna mmoja ni mwanafunz wa Mirambo,Lugoba sec(2),Ngaza girls na Kibiti yote ni matokeo ya heslb na walchaguwa kusoma Education kulngana na hal zao lakn hatima yake hawajapata k2 kutoka heslb kuna girls wawil wamefark kwa mxhtuko wote 2lkuwa internet cafe baada ya majb waljkuta wakdondoka chn na kupoteza maixha yao hawa 3 n boys nae mmoja kafa 7b pressure baada ya Tokeo na 2 wamejiua na vyuo walvyokuwa waende ni SAUT-MBEYA CENTRE(1),MKWAWA(2),UDOM(1),ECKERNOFORD(1) LENGO KUONYESHA HALI ILIVYO MBAYA KUFKIA MTU KUJIUA 7B HANA NJIA NYINGINE NA ALITEGEMEA ATAPATA KULINGANA NA MAELEKEZO YA TCU(PRIORITY) NAOMBENI TUUNGANE KUWAPA USHAURI HAO WALIOKOSA BILA HIVYO TUTAPOTEZA WENGI ZAIDI UKIACHILIA KIFO,KUNA UCHIZI,MAKUNDI MABAYA,NA HATA KUCHUKIA NCHI YAO HATA KUFKIA HATUA WANATUMIWA NA WATU WABAYA LEO KUNA AL-SHABAAB ,M23 NI RAHISI KUMCHUKUWA WAPENI USHAURI KAMA KUNA KU-APPEAL WAPE UTARATIBU WA KUFUATA MHURUMIE MWENZAKO,,end
Poleni!yamefungiwa b'coz of autocratic rule co k2 kngine cha uongo n kp, police c wez hao wanaotembea na vchwa vya watu il wapate kula rushwa,wenwgine wanakamatwa na magunia ya Bangi TZ kuna ufedhul wa hal ya juu bnafx hawa heslb wamezngua xana tena na me huwa ctoi hadith n k2 reality
Taja majina kuna mwandishi anataka kufatilia taarifa hiyo,pia anaomba umtajie shule ulomaliza wewe na jinalo unaweza ukani PMJAMANI HALI SIO HALI KWA MATOKEO YA HESLB HADI SASA WATU 5 WAMEPOTEZA MAISHA KWA 7B YA KUKOSA kuna mmoja ni mwanafunz wa Mirambo,Lugoba sec(2),Ngaza girls na Kibiti yote ni matokeo ya heslb na walchaguwa kusoma Education kulngana na hal zao lakn hatima yake hawajapata k2 kutoka heslb kuna girls wawil wamefark kwa mxhtuko wote 2lkuwa internet cafe baada ya majb waljkuta wakdondoka chn na kupoteza maixha yao hawa 3 n boys nae mmoja kafa 7b pressure baada ya Tokeo na 2 wamejiua na vyuo walvyokuwa waende ni SAUT-MBEYA CENTRE(1),MKWAWA(2),UDOM(1),ECKERNOFORD(1) LENGO KUONYESHA HALI ILIVYO MBAYA KUFKIA MTU KUJIUA 7B HANA NJIA NYINGINE NA ALITEGEMEA ATAPATA KULINGANA NA MAELEKEZO YA TCU(PRIORITY) NAOMBENI TUUNGANE KUWAPA USHAURI HAO WALIOKOSA BILA HIVYO TUTAPOTEZA WENGI ZAIDI UKIACHILIA KIFO,KUNA UCHIZI,MAKUNDI MABAYA,NA HATA KUCHUKIA NCHI YAO HATA KUFKIA HATUA WANATUMIWA NA WATU WABAYA LEO KUNA AL-SHABAAB ,M23 NI RAHISI KUMCHUKUWA WAPENI USHAURI KAMA KUNA KU-APPEAL WAPE UTARATIBU WA KUFUATA MHURUMIE MWENZAKO,,end
achaa kuleta utumbo huku wew mtu ajiue kisa mkopo?we kama ni presha za kukosa c utulizane hukoo c kutunga story..hii kamdanganye mtoto mwenzio
si kwmba ameleta utumbo.,,tuache utomaso usio na maana. Mm nimeshuhudia kw macho yangu wanafunzi wanne wakianguka netcafe baada ya kukosa mkopo na mwingine mpaka sasa ana drip hospital. Hali ni mbaya. Ila naomba tuwasaidie namna ya ku appeal
La kuchukulia poa lipi wewe?buddy bhanaa imekuwa tena xhari civilisation kumbe bado kxa ww umepata bhac xawa,,but take pouwaa
buddy bhanaa imekuwa tena xhari civilisation kumbe bado kxa ww umepata bhac xawa,,but take pouwaa
si kwmba ameleta utumbo.,,tuache utomaso usio na maana. Mm nimeshuhudia kw macho yangu wanafunzi wanne wakianguka netcafe baada ya kukosa mkopo na mwingine mpaka sasa ana drip hospital. Hali ni mbaya. Ila naomba tuwasaidie namna ya ku appeal