yepUna uhakika?
Jaribu tena...Database error mbele na nyuma, vipi nyie huko wenzangu?
Jaribu tena...
yes, umeingia?we umefanikiwa hata moja?
cannot process Db erroryes, umeingia?
Data base, sikilizia mkuucannot process Db error
Nikiwa na E flat naweza kwenda chuo? Je nitaweza kupata mkopo?Bodi ya Mkopo imefungua leo usiku maombi ya Mikopo kwa wanafunzi.
Fungua link hii kufanya applications. https://olas.heslb.go.tz/index.php/olas/pre_applicant/
Kwa wakazi wa Tegeta, Boko , Bunju, Bagamoyo wafike internet cafe iliyopo boko chama kwa mawasiliano tuandikie email bokochamacafe@gmail.com
Nend diplomaNikiwa na E flat naweza kwenda chuo? Je nitaweza kupata mkopo?
Chemistry E, Biology E, Physics E
Diploma mkuuNikiwa na E flat naweza kwenda chuo? Je nitaweza kupata mkopo?
Chemistry E, Biology E, Physics E