Heslb wanachangia umalaya kwa wanafunzi wa vyuo

Heslb wanachangia umalaya kwa wanafunzi wa vyuo

Leembaswagger

Senior Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
100
Reaction score
34
Kwa muda mrefu hapa nchini tumekuwa tukimtafuta mchawi ni nani anayeharibu ustawi wa wanafunzi wa elimu ya juu hapa nchini (hasa wa kike),lakini kwa kipindi hiki kifupi tangu nilipofika hapa chuoni (Mbeya University of Science and Technology,MUST zamani MIST) nimepata jawabu kuwa ingawa wapo baadhi ya wanafunzi wa kike wenye hulka ya umalaya lakini kwa kiasi kikubwa umalaya wao unachangiwa na ukosefu wa pesa,kwa mfano:- chuo kimefunguliwa tarehe 15 Oct mpaka leo hii bado mikopo yetu wanafunzi hatujapatiwa,fikiria kwa mtoto wa kimasikini aliyetokea DAR hana hata ndugu mmoja Mbeya mahitaji yake ya kila siku atayapata wapi?,na hiki ndiyo chanzo kikubwa cha umalaya,izingatiwe kuwa Mbeya ni mkoa wa pili kwa maambukizi ya virusi vya Ukimwi baadhi ya wanafunzi waathirika wanaoletwa vyuoni (a.k.a watoto wa mama Salma) hali inazidi kuwa mbaya,serikali iliangalie hili kwa macho angavu.Naomba kuwasilisha
 
Ni mengi sana Mpwa wanayochangia, wizi, hata na ushoga pia yaani kwa ujumla wanachangia kuharibiwa kwa maadili
 
Ndio maisha hayo ambayo serikali yenu dhaifu inayoongozwa na kiongoz dhaifu iliyowachagulia.
 
Sikatai kwamba mfuko huo husababisha machungu yaliyo makuu kwa wanafunzi.lakini ukisema wadada wanakuwa mal........ Wanaume nao ndo hivyo hivyo au wao wanakuwa watu gani?
 
Lol, hii kali. wanaume wakabebe zege, maana imeandikwa, mwanaume ataishi kwa jasho. atakayelegeza mimacho, wanakula 0713...
 
Hapo unazungumzia waliopata mkopo tu lkn wapo waliokosa mkopo kbs hawa ndio wanaamka mgest kila cku yaan ngozi inapigwa daily ili kupata mahitaji.
 
kifupi heslb haina large postive impact kwa nchi na wanafanya kazi bila tathimini za msingi,masikini wanakosa mkopo!!!
 
Huo umalaya wanaufanya na wanafunzi wenzao wa kiume, wanaopata fedha za HESLB pia. Kwa hiyo HESLB wapunguze hela za boom ili wanafunzi wa kiume wakose hela za kuwahonga wale wa kike na umalaya utapungua. Ni kweli HESLB inachangia umalaya kwa kuwa inatoa boom kubwa kwa wanachuo ambazo wanazitumia kuhonga. HESLB kama mnasikia hili basi punguzeni na chelewesheni boom
 
Sikatai kwamba mfuko huo husababisha machungu yaliyo makuu kwa wanafunzi.lakini ukisema wadada wanakuwa mal........ Wanaume nao ndo hivyo hivyo au wao wanakuwa watu gani?

wanaume wanakuwa matapeli, wezi, mission town, n.k. Wote wakike na wakiume concentration kwenye masomo inakuwa disturbed kwa kukosa pesa za matumizi.

Kwa kawaida mwanamke anamahitaji ya msingi mengi zaidi ukilinganisha na mwanaume, hii ina wa-cost zaidi.

Halafu pia uvumilivu wa mwanaume kwenye shida ni mkubwa zaidi ya uvumilivu wa mwanamke, hii ni kwa jinsi binadamu alivyoumbwa.
 
Ebu tuchunguze!inawezekana vip bord ipeleke pesa mapema udsm na kuchelesha mist jibu haiwezi kufanya hivyo pesa ilishatoka bord zamani sana kinachotoa ni mchezo mchafu wanaoufanya waasibu wa vyuo vingi hiyo pesa wanaitia katka fixed a/c kwa lengo la kujipatia riba hivyo kadri mda unavyozidi ndipo faida yao inaongezeka!!mpo hapo!!
 
Kukosa pesa sio kimbilio la kujiuza, baadhi yao umalaya ndio asili yao.
 
Back
Top Bottom