HESLB WANAKOTUPELEKA 1x1=11

HESLB WANAKOTUPELEKA 1x1=11

King Kalu G

Member
Joined
Aug 23, 2012
Posts
12
Reaction score
1
Inatakiwa ifike wakat selikali itambue kuwa inapeleka elimu pabaya kutokana na vipaumbele(priority) wanavyoweka ili watu wapate mkopo na hiyo imepelekea wa2 wachague kozi ambazo hawana vipaji nazo na hiyo itampelekea m2 asifanye kaz kwa moyo wote kwa nini mctof kidogo kwa kla m2 ili m2 axome anachotaka
 
Back
Top Bottom