Heslb wasalimu amri

It is better mmefanya hvyo..yan heslb kuna matatzo mengi xana!tenaaa
 
<br />
<br />
 
Ukiona hii post haieleweki toka na acha kuchangia....sisi tunayoelewa hata na inayotuhusu inatufaa.....
 
Hawa jamaa watakuwa wanaingza fedha zetu kwenye biashara zao nn? mbona mwaka jana bajet ndogo ilikidhi wanafuz 25000, leo hii bajet bil. 80 ziada mnakidh wanfnzi 23000, hii inamaanisha ni wana JF? karbuni mtoe maoni , maana mi waliposema bajet ni ndogo, hapo ndipo nilshndwa kuwaelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…