Hebu angalia vizuri hiyo bei hapo juu mbona hamna relation inauzwa au inakodishwa!!!!
Mkuu gharama za kudesign nyumba ni kubwa sana, kupitia kwa registered archtect hivo mie nakupa fair tu coz ndo professional yang na kwmb uko huru kuperchase na kupata ushauri na usimsmizi ktk ujenzi wa jengo hili, usisite kunitafta kwa 0787 459 850,
acha utan kaka bei halisi ya raman ya hcho k2 na hyo uloitaja havishabiiani kabsa..kwa haraka haraka hiyo iko kwa kitu cha em moja na vipoint hv..maskin ya Mungu sema mi ndo hvyo 2nd kaka ila usihofu MUNGU atakusaidia
Uko sawa bt mchakato wa kutafta ada nikasome ndo soko linakuwa chini, km utakumbuka ATCL waliwahi kuuza ndege ya billion 3 yaani mabaki yake kwa elfu hamsini tu, hivi ndivyo ilivyo kweny uwanja wa vita kiuchumi hapa TZ ukiwa na shida.