Y young sood Member Joined Jun 16, 2015 Posts 45 Reaction score 2 Jun 30, 2015 #1 Jaman wana jf napenda kuulza kuba uwezkanao wowte wa bodi ya mkopo kwa wanafunzi kuongeza muda msaada tafadhar
Jaman wana jf napenda kuulza kuba uwezkanao wowte wa bodi ya mkopo kwa wanafunzi kuongeza muda msaada tafadhar
M makarangio Member Joined Jun 5, 2015 Posts 8 Reaction score 0 Jun 30, 2015 #2 Mimi pia napenda kuuliza, kwa wale ambao wametuma fomu bila kuzitoa vivuli wakitaka kupata ushaidi pindi wamekosa mkopo watatumia njia ipi?
Mimi pia napenda kuuliza, kwa wale ambao wametuma fomu bila kuzitoa vivuli wakitaka kupata ushaidi pindi wamekosa mkopo watatumia njia ipi?
KIBARAone JF-Expert Member Joined Mar 26, 2015 Posts 642 Reaction score 243 Jun 30, 2015 #3 .... Lazima wataongeza tu
Ntaluke.N. JF-Expert Member Joined Jun 21, 2015 Posts 1,340 Reaction score 552 Jun 30, 2015 #4 Hii na mm nahitaji sana kujua hili maana wasipoongeza itakuwa majanga,