Heslb yapeleka majina vyuoni

Chantaburi

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
749
Reaction score
194
Majina ya waliopata mkopo yamepelekwa kwenye vyuo mbalimbali ambavyo vimewahi kufungua. Chuo cha Uongozi wa Kodi(Institute of Tax Admin) yamebandikwa kwenye notisi bosi.
 
Tatizo lingine hilo sasa. Hiv ni kwa nini wasiweke majina kwenye website yao sasa
 
Kwanini wasitupie mzigo kwenye web yao..../???

Hawa jamaa bhana,hivi zile 30000 tulizowarushia kwa Mpesa,wamezifanyia nini,kama hata kurusha majina kwenye web yao wanashindwa..
 
Majina ya waliopata mkopo yamepelekwa kwenye vyuo mbalimbali ambavyo vimewahi kufungua. Chuo cha Uongozi wa Kodi(Institute of Tax Admin) yamebandikwa kwenye notisi bosi.

sorry hayo majina ni ya first year au contin student eg second year?
 
Hata hapo ITA wenyewe ndio wameyafata na kuyabandika. waliopata mkopo ni 26 tu kwa mwaka wa kwanza. Hali ni tete
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…