Ila km tungepata nguvu kutoka kwa hata waziri kivuli wa elimu, au mwanasiasa yeyote angeyeweza kuongelea tatizo hili, au hata viongoz wa vyama vya wanafunzi wa elimu ya juu, ingesaidia kuliko sasa tupo disorganized sana ambapo tunashindwa kupressurize bodi kutusikilìza.