Iruru
JF-Expert Member
- Jan 27, 2014
- 1,471
- 2,891
NEMC na taasisi zingine za uthibiti, eneo la Mchicha Vingunguti kuna hewa kali sana ambayo ukipita lazima ushindwe kupumua na kupata kikohozi kikali. Watu wanasema sulphur inayotoka viwandani.
Je, mmeamua kutua kwa sulphur baada ya kimbunga Hidaya kutusamehe?
Je, mmeamua kutua kwa sulphur baada ya kimbunga Hidaya kutusamehe?