hey jamani wakina nani humu wanakumbuka disco lal club billcanas germ session kila jumapili mchana

hey jamani wakina nani humu wanakumbuka disco lal club billcanas germ session kila jumapili mchana

Bata batani

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2011
Posts
3,217
Reaction score
3,694
jamani kwa wale..vijana enzi zilee za utoto kila jumapili tulikuwa tunapenda disco la club germ session lilokuwa likifanyika
club billcanas pale mlangoni mnakumbuka nini

1.mi nakumbuka kiingilio ilikuwa buku moja
2.mnamkumbuka baunsa alikuwa akiitwa terminator
3.kuna jamaa mmoja alikuwa anakujaga amevaaa micheni,miwani kila siku alikuwa lazima ajee
4.nakumbuka ukumbi ulivyokuwaa unajaa
5.mashindano ya ma camp kuimba na kusheki...
5.bia ilkuwa buku na jeloo....

daa..ni hayoo tuu kama kuna mengine tukumbushane
 
Back
Top Bottom