Hey Y'all!

Hey all jamni mimi ni mgeni pia naomba msaada ni jinsi gani nitatuma post?? nitashkuru kwa msaada wenu
 
Hey all jamni mimi ni mgeni pia naomba msaada ni jinsi gani nitatuma post?? nitashkuru kwa msaada wenu

Fungua ukumbi unaopendelea kama ni siasa au biashara au utani nk. kisha juu kushoto utaona tab ya blue na maandishi meupe inasomeka New Thread bofya hiyo kisha jimwage inajieleza vizuri.

Pia karibu sana jamvini.
 
Asante sana sadobe nimefanikiwa weekend njema
 
Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…