Hey

Hey

Karibu sana mgeni.

Huyo kwenye picha ni wewe?
 
Upo Tukuyu sehemu gani? Nimeagizwa na uongozi wa JF nikuletee 'membership card'
 
Toa maelezo kwann wewe n mweupe wakat Kuna uzi humu unasema mbeya wanawake n weusi wote ?
 
Ughonile,
Nitumie basi namba yako inbox,tuwe marafiki..mimi niko mbeya mjini
 
Una papuchi?

Upo Tukuyu kweli ama unatokea huko?

Umeolewa?
Una miaka mingapi?
 
Back
Top Bottom