Hezbollah imepoteza mawasiliano na aliyetarajiwa kumrithi Nasrallah

Hezbollah imepoteza mawasiliano na aliyetarajiwa kumrithi Nasrallah

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
Kundi la magaidi la Hezbollah limetangaza kupoteza mawasiliano na aliyetarajiwa kuwa mkuu wake baada ya kifo cha Nasrallah anayefahamika kwa jina la Safi Al din na haieleweki hadi wakati huu alipo!

Hivi karibuni Marekani ilitoa taarifa kuwa, Israel ilimlenga huyo mkuu taraji usiku wa Alhamis iliyopita.
 
Mwamba kama hajauwawa basi atakuwa amesepa zake na kujichanganya mtaani kama mgalatia wa kilebanon, kanyoa ndevu, kapiga tisheti kali, jeans na chini katupia raba kali za balansiaga!

Kuliko awaishwe kupewa mabikira wa peponi (ambao hata yeye huenda anaamini hawapo bali zilikuwa ni fix za Mudy) mwamba akaona mapema kabisa abakie hapa hapa duniani ilo aendelee kutafuna pisi kali na laini za kilebanon.
 
Wakati Ayotollahs wavaa vipedo, misuli na makobazi wakisherehekea makombora ya Iran yasiyo na madhara kwa Israel , huyu mrithi Wa Nasrallah, Hasheem Safiedden, mpaka leo hajapatikana, yasemekana amekufa pia. Ayotollahs acheni kujibaraguza 🤔
FB_IMG_1728182836458.jpg
FB_IMG_1728100408608.jpg
FB_IMG_1728148321926.jpg
 
Back
Top Bottom