Hezbollah waanza kutoroka Kusini baada ya kuhofia mashambulizi ya IDF

Hakuwa gaidi alizinguana na jiwe alikula b kadhaa za jiwe Kisha akagoma kuunga juhudi alimzunguka jiwe.
Thus ilikuwa kesi ya kubumba ushaidi wa kubumba
Basi ndio ilivyokwa Hamas. Waislamu wote duniani tunaamini Hamas sio magaidi. Baadhi ya wakiristo wachache na mayahudi na mabeberu wenye maslahi yao wanaona hamas ni magaidi.

Sawa sawa na mbowe na hao unaosema
 
Basi ndio ilivyokwa Hamas. Waislamu wote duniani tunaamini Hamas sio magaidi. Baadhi ya wakiristo wachache na mayahudi na mabeberu wenye maslahi yao wanaona hamas ni magaidi.

Sawa sawa na mbowe na hao unaosema
Sifa ya kuwa gaidi ni kumwaga damu hamas wanazo
 
Kuna wenzako huko wanasema Hamas na Hezbollah yalianzishwa na U.S.A πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
source jewish post...emu jiheshimu japo kidogo mtoa mada.
 
Nimecheka sana eti Hezbollah kakimbia wakati wanataka vita huyu punguani uwa anachofikiria yeye anapost na bahati mbaya JF majinga mengi wanakubali tuπŸ˜‚
πŸ˜„ Israel si kama America mdomo mwingi si walisema mwanzo Israel, Hezbullah akigusa Israel atashughulikwa na America, badaye Hezbullah akampiga hatukuona America na hizo navy carries kafanya lolote, Nasurlah alimsha wambia America hizo carries zao haziwatishi.

Sijuzi juzi tu hapa America kamtisha Yemen na coalition zao sijui Bahrain, Canada, France, Italy, UK and other countries naona America kambembeleza Oman awakutanishe na Al Hout wa Yemen hapo Muscat na America anaongea kwa adabu chezea Yemen.

Afu Oman unawatakia nini kuwapatanisha, si America alijidai mbabe? Ungemuwacha atiwe adabu na Myemen.
 
Hivi vita tumejua vitu vingi sana kuhusu Marekani na Israel mikwala tu nakuonea wanyonge vita hawewezi kabisa.
 
ISRAEL ana maadui wengi kweli kweli cha kushangaza hawammalizi hata..
 
ISRAEL ana maadui wengi kweli kweli cha kushangaza hawammalizi hata..
πŸ˜„ ndio sababu huoni America, Canada, Ukraine, India, Honduras, France, Italy, Spain, Salvador, Ethiopia, South Sudan, badhi ya wakenya na watanzania wanapigana wote hao na Hamasi tu sa wataisha vipi πŸ˜„

Afu pia nchi za kiarabu zinamsaidia Israel kuzuia kuingiza chakula Gaza na bado tu Hamasi anawamaliza kila siku 16 to 40 sijui tumeisha wamaliza wangapi? Hebu mpigien Netanyahu awe mkweli atupe figure anaogopea nini kusema numbers mdomo unakuwa kama kala ubwabwa wa moto umembabua ulimi πŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…