HGE kusomea architecture inawezekana

The Ape

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2014
Posts
330
Reaction score
475
Rejea kichwa cha habari viongozi....hivi kwa mtu aliesoma hge na ana pass za (physics na chemistry) o- level anaweza somea architecture...kama hapana course gani zina uwezekano kwake?
 
Rejea kichwa cha habari viongozi....hivi kwa mtu aliesoma hge na ana pass za (physics na chemistry) o- level anaweza somea architecture...kama hapana course gani zina uwezekano kwake!!

Kwa miaka ya hivi karibuni haiwezekani labda kama ungekua miaka hiyo ya 2000-2008... kama ungesoma walau EGM inawezekana!! HGE anaweza soma kozi zote za biashara, sheria, education..
 
Kwa miaka ya hivi karibuni haiwezekani labda kama ungekua miaka hiyo ya 2000-2008... kama ungesoma walau EGM inawezekana!! HGE anaweza soma kozi zote za biashara, sheria, education..

Vipi kuhusu course zingine zinazopatikana ardhi university ambazo anaweza kusomea.

Unaweza kuzitaja?
 
Ingia website ya tcu, tafuta guidelines za admission 2014/15 utafute ukurasa wa ardhi wameweka all the info kuhusu kozi zao, minimum requirements ikiwemo somo, matokeo, admission capacity etc.
 
Ingia website ya tcu, tafuta guidelines za admission 2014/15 utafute ukurasa wa ardhi wameweka all the info kuhusu kozi zao, minimum requirements ikiwemo somo, matokeo, admission capacity etc.

Nashukuru kiongozi kwa mchango wako!!
 
Nipeni information zaidi viongozi.
 
bsc real estate au bsc building economics ...anaweza kusoma real estate nina uhakika asilimia 100% ... pia unaweza cheki tcu guide book 2015 kwa reference
 
[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD="width: 902, colspan: 11"]
Ardhi University (ARU)(Conventional Programmes)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 28"]


S/N
[/TD]
[TD="width: 110"]


Programme
[/TD]
[TD="width: 46"]


Code
[/TD]
[TD="width: 247"]


Admission requirements: Form IV
[/TD]
[TD="width: 118"]
Admission Requirements: Diploma (NTA Level 6)
[/TD]
[TD="width: 67"]
Minimum Admission Points: Form VI
[/TD]
[TD="width: 33"] Admission
Capacity
[/TD]
[TD="width: 38"] Programme
Duration
[/TD]
[TD="width: 74"]


Tuition Fee
[/TD]
[TD="width: 76"]
1Possible Loan Amount TZS
[/TD]
[TD="width: 66"]

Loan
Priority
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 28"]
1
[/TD]
[TD="width: 110"]
Bachelor of
Architecture
[/TD]
[TD="width: 46"]




AR001
[/TD]
[TD="width: 247"]
Two or more principal passes in any of the following; Mathematics, Physics, Chemistry, Biology, Geography and Fine Art. A subsidiary pass in Advanced
Mathematics/ Basic Applied Mathematics or credit pass in O-level Mathematics is required.
[/TD]
[TD="width: 118"]


Relevant Diploma with Second class OR Credit OR B average
[/TD]
[TD="width: 67"]

2.0 (Science)



4.0 (Arts)
[/TD]
[TD="width: 33"]




50
[/TD]
[TD="width: 38"]




5
[/TD]
[TD="width: 74"]
TZS
1,100,000 (locals) USD 1,500
(foreigners)
[/TD]
[TD="width: 76"]





1,100,000
[/TD]
[TD="width: 66"]




Priority
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 28"]
2
[/TD]
[TD="width: 110"]
Bachelor of Science in Interior Design
[/TD]
[TD="width: 46"]




AR002
[/TD]
[TD="width: 247"]
Two or more principal passes in any of the following; Mathematics, Physics, Chemistry, Biology, Geography and Fine Art. A subsidiary pass in Advanced
Mathematics/ Basic Applied Mathematics or credit pass in O-level Mathematics is required.
[/TD]
[TD="width: 118"]


Relevant Diploma with Second class OR Credit OR B average
[/TD]
[TD="width: 67"]

2.0 (Science)



4.0 (Arts)
[/TD]
[TD="width: 33"]




35
[/TD]
[TD="width: 38"]




4
[/TD]
[TD="width: 74"]
TZS
1,100,000 (locals)

USD 1,500 (foreigners)
[/TD]
[TD="width: 76"]





-
[/TD]
[TD="width: 66"]



Non- Priority
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 28"]
3
[/TD]
[TD="width: 110"]
Bachelor of Science in Landscape Architecture
[/TD]
[TD="width: 46"]




AR003
[/TD]
[TD="width: 247"]
Two or more principal passes in any of the following; Mathematics, Physics, Chemistry, Biology, Geography and Fine Art. A subsidiary pass in Advanced
Mathematics/Basic Applied Mathematics or credit pass in O-level Mathematics is required.
[/TD]
[TD="width: 118"]


Relevant Diploma with Second class OR Credit OR B average
[/TD]
[TD="width: 67"]

2.0 (Science)



4.0 (Arts)
[/TD]
[TD="width: 33"]




30
[/TD]
[TD="width: 38"]




4
[/TD]
[TD="width: 74"]
1,100,000 (locals)

$1,500 (foreigners)
[/TD]
[TD="width: 76"]





1,100,000
[/TD]
[TD="width: 66"]




Priority
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 



S/N



Programme



Code



Admission requirements: Form IV

Admission Requirements: Diploma (NTA Level 6)

Minimum Admission Points: Form VI
Admission
Capacity
Programme
Duration



Tuition Fee

1Possible Loan Amount TZS


Loan
Priority

13

Bachelor of Science in Regional Development Planning





AR016

Two or more principal passes in any of the following: Physics, Chemistry, Biology, Geography, Economics, History, Mathematics, Commerce and Accountancy. In addition a subsidiary pass in Mathematics at A' level or at least a pass in Mathematics at O level is required.



Relevant Diploma with Second class OR Credit OR B average





4.0





30





4

TZS
1,300,000 (locals) USD 2,100
(foreigners)








-




Non- Priority

14

Bachelor of Science in Real Estate (Finance and Investment)





AR017

Two or more principal passes in any of the following; Mathematics, Physics, Geography, Chemistry, Commerce, Accountancy, Biology and Chemistry. A subsidiary pass in advanced Mathematics/Basic Applied Mathematics and credit pass in O'level Mathematics is required.



Relevant Diploma with Second class OR Credit OR B average





4.0





40





4


TZS
1,300,000 (locals) USD 2,100 (foreigners)






-





Non- Priority

15

Bachelor of Science in Urban and Regional Planning





AR018

Two or more principal passes in any of the following: Physics, Chemistry, Biology, Geography, Economics, History, Mathematics, Commerce and Accountancy. In addition a subsidiary pass in Advanced Mathematics/Basic Applied Mathematics or at least a pass in Mathematics at O level is required.



Relevant Diploma with Second class OR Credit OR B average





4.0





60





4


TZS
1,300,000 (locals) USD 2,100 (foreigners)








-





Non- Priority

[TD="colspan: 11"]
Ar d hi University (ARU)(Conventional Programmes)
[/TD]
 
 
 
Dah asante kaka...vp kuhusu hiyyo real estate kibongobongo!!

ni nzuri .. si unaona majengo kibao yanajengwa hayo yanahitaji property and facilities managers..(watu wakuyamanage)
mashirika mengi sana yanawekeza (pension funds ,NHC,MABENKI.. etc) kwenye construction industry yanahitaji sana investment na real estate officer kwenye kudevelop,evaluation, analysis ya hii miradi..
estate officer kwenye mashirika kibao wapo..

REAL ESTATE ni moja ya INDUSTRY zinazokuja kwa kasi sana ..kwa mtazamo wangu naona hii kitu itakuwa nzuri mbele
 

Nashukuru sana kaka. Asante sana!! .na vipi kuhusu baf ya ardhi na nasikia imeshakua yeboyebo!!
 
vp kuhuso course zingine zinazopatikana ardhi university ambazo naweza kusomea...zi mention down..

nadhani utakua umepata jibu sahihi kwa post zilizopita hapo juu....kwa kuongezea kama mdau alivyosema hapo juu ningekushauri hizi..(as far as ardhi university is concerned)
1.land management and valuation
2.real estate
3.baf
4.urban planning
 
nadhani utakua umepata jibu sahihi kwa post zilizopita hapo juu....kwa kuongezea kama mdau alivyosema hapo juu ningekushauri hizi..(as far as ardhi university is concerned)
1.land management and valuation
2.real estate
3.baf
4.urban planning

Brooo!!...mimi nilidhani ukiwa na pass za physics na chemistry o-level basi unaruhusiwa kusomea!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…