Kha..! Umeingiaje huku bila kukaguliwa?Haahaaa kukaguliwaje. Naona bado hebu nielekeze dear.
Haya karibu wenyeji tupo.
Asante Katavi. nimekaribia.
Ila hakikisha unakaguliwa.
Morning. Nani sasa ananikagua Kaka Katavi?
nilikwambia
Bantu karibu....kitu cha arusha.we msela au sister du poriii...au wa masaki,obey
basi baridi ya yethuu....mimi tu ndo single humu wengine wote wana watu,karibu sanaaAsante B'REAL. Mimi si msela wala si duu pori. Jibu ushapata si ndioeee
basi baridi ya yethuu....mimi tu ndo single humu wengine wote wana watu,karibu sanaa
Kwanza kukaguliwa kwa hapa lina maana gani?
Asante nimeshakaribia kabisa. Ooh pole utapata tu mtu wako ukitangaza nia warembo kibao humu.[/QUOTE.dah!!wanasema mchizi natabia mbayaa....navuta sana kayaa,wanajali mavazi si tunatafuta helaa
Asante nimeshakaribia kabisa. Ooh pole utapata tu mtu wako ukitangaza nia warembo kibao humu.[/QUOTE.dah!!wanasema mchizi natabia mbayaa....navuta sana kayaa,wanajali mavazi si tunatafuta helaa
hahahahaaa pole. Utapata tu wa aina yako. Wasela wapo wanawake si ndio? basi usikonde bro
Vitu vingi kimojawapo jinsia yako, then kama wewe ni ke tunatakiwa kujua kama kile kizuizi kimeshatolewa kwenye k
Kha..! Umeingiaje huku bila kukaguliwa?
Asante Katavi. nimekaribia.
Ila hakikisha unakaguliwa.
Morning. Nani sasa ananikagua Kaka Katavi?
c.c: Babu Asprin.
Nimekuja sasa nakwita babu ama? Niambie