Hi Chit-Chat

Nimeshawashtukia ndio maana Qeen Kan aliniambia nisikubali kabisa.
cc: Asprin,Kabanga.
 
Ndo maana yake. Ila kwa mabaya tu, kwa mazuri nitafuata sheria zote. Mimi ni mtiifu.

Kama ni mtiifu lazima ukaguliwe kwanza. Na lazima tujue kama unatoka kwenye familia ya watu8
 
Last edited by a moderator:
Nilijua tu hamnipati huko kabisa. Sitaki kukaguliwa ng'o.
cc: kabanga,nitonye.
 
Bantu lady karibu sana JF na hususan JF chit chat.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…